Kwa mujibu wa ripoti ya kitengo cha tarjama cha Shirika la Habari la Hawza, Hassan Fadhlullah, mjumbe mwandamizi wa kambi ya uaminifu kwa Muqawama na mbunge wa Lebanon, alieleza kwamba; mazungumzo ya moja kwa moja na Israel ni kosa kubwa linalosababisha kuongezeka kwa tofauti na mpasuko wa ndani, na Hizbullah inasisitiza kushikamana na makubaliano ya kusitisha mapigano, lakini Israel nayo inapaswa kuyazingatia.
Mjumbe mwandamizi wa kambi ya muqawama:
Mazungumzo ya moja kwa moja na Israel ni kosa kubwa linalosababisha kuongezeka kwa mpasuko wa ndani
Hawza/ Hassan Fadhlullah alibainisha kuwa; mazungumzo ya moja kwa moja na Israel ni kosa kubwa ambalo linasababisha kuongezeka kwa tofauti za ndani.
Maoni yako